Rais wa Uturuki azungumza na Khan kuhusu Jammu & Kashmir
Rais wa Uturuki azungumza na waziri mkuu wa Pakistan kuhusu Jammu & Kashmir.
Recep
Tayyıp Erdoğan azungumza na waziri mkuu wa Pakistani Imran Khan kwa
njia ya simu kuhusu matukio ya hivi karibuni kati ya India na
Pakistani katika eneo la Jammu & Kashmir.
Taarifa
kutoka ikulu mjini Ankara katika kitengo kinachohusika na upashaji
habari zimesema kwa waziri mkuu wa Pakistani Imran Khan amempigia simu
rais ErdoÄŸan na kumpa taarifa kuhusu hali inayoendelea katika eneo la
Jammu & Kashmir.
Katika
mazungumzo yao rais wa Uturuki na waziri mkuu huyo wa Pakistani, rais
ErdoÄŸan amekumbusha umuhimu wa mazungumzo na kutoa wito kwa pande zote
mbili kuweka mbele mazungumzo.
India
imeondoa makubaliano ya eneo la Jammu & Kashmir makubaliano ya
zaidi ya nusu karne na kfungu cha sharia nambari 370 cha katiba.
imeandaliwa na Nadhiri .A.Rashidi
0 Comments