Rais ErdoÄŸan amesema kuwa hatua hizo zimechukuliwa baada ya mkutano wa jopo la wanasayansi wa Uturuki na wataalamu wa afya.
Hatua hizo zimeanza kuheshimishwa kuanzia wakati huo aliotangaza kupitia runinga Ijumaa.
Hatua zilizochukuliwa ni :
- Marufuku kwa vijana wenye umri wa chini ya miaka 20 kutoka nje.
- Marufuku ya kusafiri , kuingia na kutoka katika miji 31.
- Agizo la kuvaa barakoa .
Vile vile imetangazwa kuwa adhabu kali itatolewa kwa yeyote atakae kiuka maagizo hayo.
Rais ErdoÄŸan amesema kuwa hatua hizo hazichukuliwa kwa kuwakanzamiza raia bali kujali afya na usalama wa taifa zima, huku akimalizia kwa kusema kuwa kurejea katika hali ya kawaidi kutatokana na nyendo zetu na kuzingatia maagizo kutoka serikalini.
0 Comments