Na hizo kauli zote ni za wanaume, lakini inapotokea ukahisi au ukajua mkeo analiwa ni lazima roho ikuume.
Mkeo ameliwa kwa ridhaa yake, huenda nawe umewahi kula mke wa mwenzio, kinachokutoa roho ni kipi.?
Je ni kudharaulika, kwamba kanionaje, au niaje.?
Hebu tujadili bila hasira, lazima kila mtu anarespondi kwa namna yake. Kwa wale ambao yashawakuta watupe uzoefu, na wale ambao bado [japo hatuombei] ikitokea watafanyaje.?
0 Comments